Norwei
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: Alt for Norge ("Yote kwa Norwei" ni wito wa kifalme) Kiapo kufuatana na katiba ya 1814 : "Enige og tro til Dovre faller" ("Pamoja na waaminifu hadi milima ya Dovre inaporomoka") |
|||||
Wimbo wa taifa: Ja, vi elsker dette landet Wimbo la kifalme: Kongesangen |
|||||
Mji mkuu | Oslo |
||||
Mji mkubwa nchini | Oslo | ||||
Lugha rasmi | Kinorwei1 (Bokmål na Nynorsk) |
||||
Serikali
Mfalme
Waziri Mkuu |
Ufalme wa kikatiba Harald V Jens Stoltenberg |
||||
Katiba Uhuru Ilitangazwa Ilitambuliwa |
Kutoka maungano na Uswidi 7 Juni 1905 26 Octoba 1905 |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
306,253 km² (ya 613) {{{percent_water}}} |
||||
Idadi ya watu - 2006 kadirio - 2001 sensa - Msongamano wa watu |
4,667,410 [1] (ya 114) 4,520,947 12/km² (ya 202) |
||||
Fedha | Krone ya Norwei (NOK ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
CET (UTC+1) CEST (UTC+2) |
||||
Intaneti TLD | .no2 | ||||
Kodi ya simu | +47 |
||||
1Lugha rasmi ya Kinorwei inapatikana kwa namna mbili; bokmål zaidi kama lugha ya kimaandishi na Nynorsk zaidi kama lugha ya majadiliano ingawa inaandikwa pia. Lugha ya Kisami ni lugha rasmi katika miji 6 na Kifinland katika mji mmoja. |
Norwei ni nchi ya Skandinavia katika Ulaya ya Kaskazini. Imepakana na Uswidi, katika kaskazini yake pia na Ufini (Finland) na Urusi. Ina pwani ndefu na bahari ya Bahari ya Kaskazini na Atlantiki. Mji mkuu ni Oslo.
Visiwa vya Svalbard na Jan Mayen katika bahari ya Aktika ni maeneo chini ya Norwei. Pis visiwa visivyokaliwa na watu vya Bouvet Island katika Atlantiki ya kusini na Peter I Island katika Pasifiki ya kusini ni maeneo chini ya Norwei inayodai pia sehemu ya Queen Maud Land barani Antaktika penye kituo cha kisayansi cha Troll.
[edit] Uchumi
Norwei ilikuwa nchi maskini ya wakulima na wavuwi lakini tangu kupatikana kwa mafuta ya Petroli baharini imekuwa kati ya nchi tajiri kabisa duniani.
Nchi na maeneo ya Ulaya | |
---|---|
Albania | Andorra | Austria | Belarus | Bosnia na Herzegovina | Bulgaria | Kroatia | Denmark | Estonia | Ufaransa | Hungaria | Iceland | Ireland | Italia | Latvia | Liechtenstein | Lithuania | Luxemburg | Masedonia | Malta | Moldova | Monako | Norway | Poland | Romania | San Marino | Serbia na Montenegro3 | Slovakia | Slovenia | Hispania | Ubelgiji | Uceki | Ufini | Ugiriki | Ujerumani | Uholanzi | Ureno | Urusi1 | Uswidi | Uswisi | Ukraine | Uingereza | Vatikan
Maeneo ya Ulaya ya kujitawala chini ya nchi nyingine: Visiwa vya Faroe | Gibraltar | Guernsey | Jan Mayen | Jersey | Isle of Man | Svalbard Nchi za Asia ambazo ni mwanachama wa baraza la Ulaya au vyombo vingine vya Ulaya: Armenia2 | Azerbaijan1 || Cyprus2 | Georgia1 | Kazakhstan1 | Uturuki1 Nchi zisizokubaliwa na umma wa kimataifa: Abkhazia | Nagorno-Karabakh2 | Ossetia ya Kusini | Transnistria | Jamhuri ya Kituruki ya Cyprus ya Kaskazini2 Maelezo: (1) nchi ya kimabara katika Asia na Ulaya; (2) nchi katika eneo la Asia ya Magharibi (kufuatana na kanda za UM) lakini kiutamaduni huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya; (3) Inaelekea kugawiwa kuwa nchi mbili za Serbia na Montenegro |