Ukraine
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: -- | |||||
Wimbo wa taifa: Ще не вмерла України Shche ne vmerla Ukrajiny]] "Ukraine's glory has not perished" |
|||||
Mji mkuu | Kiev (Kyiv) |
||||
Mji mkubwa nchini | Kiev | ||||
Lugha rasmi | Kiukraine | ||||
Serikali
Rais
Waziri Mkuu |
Demokrasia Viktor Yushchenko Viktor Yanukovych |
||||
Uhuru ilitangazwa Kura ya maoni ya wananchi ilikubaliwa |
24 Agosti 1991 1 Desemba 1991 25 Desemba 1991 |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
603,700 km² (ya 44) 7% |
||||
Idadi ya watu - 2005 kadirio - 2001 sensa - Msongamano wa watu |
46,481,000 (ya 27) 48,457,102 77/km² (114th) |
||||
Fedha | Hryvnia ya Ukraine (UAH ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
EET (UTC+2) EEST (UTC+3) |
||||
Intaneti TLD | .ua | ||||
Kodi ya simu | +380 |
Ukraine (Україна}}, Ukraina) ni nchi ya Ulaya ya Mashariki. Imepakana na Urusi, Belarus, Poland, Slovakia, Hungaria, Romania na Moldova. Kuna pwani la Bahari Nyeusi na ghuba ya Azov. Mji mkuu ni Kiev (Kyiv).
[edit] Lugha na utamaduni
Kiukraine (українська мова "ukrajin's'ka mova") ni lugha rasmi lakini angalau nusu ya wakazi hutumia Kirusi. Kuikraine lugha ya Kislavoni karibu sana na Kirusi. Kwa muda mrefu Ukraine ilitawaliwa na Urusi na Kirusi ikilikuwa lugha ya utawala hali halisi. Tangu uhuru serikali imeendesha siasa ya kujenga lugha ya kitaifa.
[edit] Wakazi
Sensa ya 2001 ilionyesha ya kwamba 77% za wakazi hujiita "Waukraine". Waliojiita Warusi walikuwa 17%. Vikundi vingi vingine kama Wabelarus, Wamoldovia, Watartari, Wabulgaria, Wapoland, Wayahudi na wengine walikuwa kila moja chini ya 1%.