Misri
From Wikipedia
|
|||
Lugha rasmi | Kiarabu | ||
Mji Mkuu | Kairo | ||
Serikali | Jamhuri | ||
Rais | Muhammad Hosni Mubarak | ||
Waziri Mkuu | Ahmad Nazif | ||
Eneo | 1.001.450 km² | ||
Wakazi | 77.505.756 (Julai 2005) | ||
Wakazi kwa km² | 77 kwa jumla; katika bonde la Nile 1120 | ||
Uhuru | 26 Julai, 1952 kutoka Uingereza | ||
Pesa | Lira au Pauni ya Misri = 100 Piaster | ||
Wakati | UTC +2 | ||
Wimbo ya Taifa | Biladi, Biladi, Biladi (nchi yangu) | ||
Image:Ägypten-Pos.png | |||
Image:Karte Ägyptens.png |
Misri (Kiarabu: مصر Masr) ni nchi ya Afrika ya Kaskazini-Mashariki. Rasi ya Sinai ambayo ni sehemu ya Misri huhesabiwa kuwa sehemu ya bara la Asia.
Misri imepakana na Bahari ya Mediteraneo, Israel, Eneo la mamalaka ya Palestina, ghuba la Suez, ghuba la Aqaba, Bahari ya Shamu, Sudan na Libya.
Makala hiyo kuhusu "Misri" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Misri kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |
Nchi za Afrika | |
---|---|
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad |Cote d'Ivoire | Djibouti | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe | |
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika | |
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia |
Categories: Mbegu | Misri