Sao Tome na Principe
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: n/a | |||||
Wimbo wa taifa: Independência total (Uhuru Kabisa) | |||||
Mji mkuu | Sao Tome |
||||
Mji mkubwa nchini | Sao Tome | ||||
Lugha rasmi | Kireno | ||||
Serikali
Rais
Waziri Mkuu |
Jamhuri Fradique de Menezes Tomé Vera Cruz |
||||
Uhuru - Date |
Kutoka Ureno 12 Julai, 1975 currency = Dobra |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
964 km² (ya 169) 0% (visiwa) |
||||
Idadi ya watu - 2005 kadirio - Msongamano wa watu |
169,000 (ya 173) 171/km² () |
||||
Fedha | {{{currency}}} (STD ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
UTC (UTC+0) (UTC) |
||||
Intaneti TLD | .st | ||||
Kodi ya simu | +239 |
Sao Tome na Principe ni nchi ya visiwa katika Bahari ya Atlantiki mbele ya pwani la Afrika ya Magharibi katika Ghuba ya Guinea. Ilikuwa koloni ya Ureno hadi 1975.
Eneo lake ni hasa visiwa viwili vikubwa vya São Tomé na Príncipe pamoja na visiwa vidogo kadhaa. Sao Tome na Principe vina umbali wa 140 km kati yao vikiwa takriban 250 na 225 km kutoka pwani la Gabon. Visiwa vyote ni sehemu ya safu ya milima ya volkeni baharini. Sao Tome iko kwenye mstari wa iweta.
Jina la Sao Tome lamaanisha "Mtakatifu Thomas" kwa sababu Wareno walifika mara ya kwanza siku ya Thomas katika kalenda ya kikatoliki.
90 % za wakazi huishi kwenye kisiwa kikubwa cha Sao Tome ambacho kina urefu wa 48 km na upana wa 32 km. Hapa kuna milima ya kufikia 2.024 m juu ya UB
Kisiwa cha pili ni Principe kina urefu wa 16 km na upana wa 6 km. Mlima wake mkubwa unafikia 927 m juu ya UB.
[edit] Miji
Miji mikubwa zaidi ni (namba za 2005):
- São Tomé: wakazi 56.1670
- Santo Antonio: wakazi 8.239
- Neves: wakazi 7.392
- Santa Cruz: wakazi 6.969
- Trindade: wakazi 6.636
Pamoja na lugha rasmi ya Kireno wakazi hutumika lugha za krioli zinazochanganya Kireno na lugha za Kibantu kama vile Saotomense (wasemaji 70.000), Principense (wasemaji 1.500) na Angolar (wasemaji 5.000).
80 % za wakazi ni Wakatoliki, takriban 10 % ni New Apostolic.
[edit] Uchumi
Uchumi wa visiwa ulikuwa hasa mashamba makubwa ya kakao pamoja na kahawa na mazao ya minazi.
Katika miaka ya nyuma akiba za mafuta ziligunduliwa baharini katika maeneo kati ya Sao Tome na Nigeria. Mwaka 2001 nchi zote mbili zilipatana kuendelea pamoja na utafiti wa akiba hizi. Kutokana na kazi hizi kuna matumaini ya mapato makubwa wakati ujao.
[edit] Historia
Nchi za Afrika | |
---|---|
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad |Cote d'Ivoire | Djibouti | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe | |
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika | |
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia |