1975
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 25 Juni - Nchi ya Msumbiji inapata uhuru kutoka Ureno.
- 5 Julai - Visiwa vya Cabo Verde vinapata uhuru kutoka Ureno.
- 6 Julai - Visiwa vya Komori vinapata uhuru kutoka Ufaransa.
- 12 Julai - Visiwa vya Sao Tome na Principe vinapata uhuru kutoka Ureno.
- 11 Novemba - Nchi ya Angola inapata uhuru kutoka Ureno.
- 25 Novemba - Nchi ya Surinam inapata uhuru wake kutoka Uholanzi.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 14 Februari - Julian Huxley (mwanabiolojia, na mkurugenzi wa kwanza wa UNESCO)
- 14 Februari - P. G. Wodehouse
- 24 Februari - Nikolai Bulganin
- 25 Februari - Elijah Muhammad
- 13 Machi - Ivo Andric (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1961)
- 26 Juni - Josemaría Escrivá
- 20 Septemba - Saint-John Perse (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1960)
- 30 Oktoba - Gustav Hertz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1925)
- 5 Novemba - Edward Tatum (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1958)
- 7 Desemba - Thornton Wilder (mwandishi Mmarekani)