Knut Hamsun
From Wikipedia
Knut Hamsun (4 Agosti, 1859 – 19 Februari, 1952) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Norway. Hasa aliandika mashairi na riwaya. Mwaka wa 1920 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Knut Hamsun (4 Agosti, 1859 – 19 Februari, 1952) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Norway. Hasa aliandika mashairi na riwaya. Mwaka wa 1920 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.