1961
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 12 Aprili - Yuri Gagarin, rubani Mrusi, anafika katika anga la nje na kuzunguka dunia lote.
- 27 Aprili - Nchi ya Sierra Leone inapata uhuru kutoka Uingereza.
- 9 Desemba - Nchi ya Tanzania inapata uhuru kutoka Uingereza.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 17 Januari - Patrice Lumumba
- 6 Aprili - Jules Bordet (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1919)
- 2 Julai - Ernest Hemingway (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1954)
- 6 Desemba - Frantz Fanon