1918
From Wikipedia
[edit] Matukio
Novemba: Mwisho wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia
[edit] Waliozaliwa
- 3 Machi - Arthur Kornberg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba wa mw. 1959)
- 18 Julai - Nelson Mandela (rais mstaafu wa Afrika Kusini, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1993)
- 2 Septemba - Allen Drury (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1959)
- 11 Desemba - Aleksandr Solzhenitsyn (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1970)
[edit] Waliofariki
- 8 Februari - Louis Renault (mwanasheria Mfaransa, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1907)
- 10 Februari - Ernesto Teodoro Moneta (mwandishi Mwitalia, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1907)
- 10 Septemba - Karl Peters aliyeanzisha Afrika ya Mashariki ya Kijerumani