28 Februari
From Wikipedia
Jan - Februari - Mac | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | ||||||
Kalenda ya Gregori |
[edit] Matukio
- 1525 - Cuauhtemoc aliyekuwa mfalme wa mwisho wa Dola la Azteki (Mexiko) anauawa kwa amri ya Hernan Cortes.
[edit] Waliozaliwa
- 1896 - Philip Hench (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1950)
[edit] Waliofariki
- 1936 - Charles Nicolle (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1928)
- 2006 - Owen Chamberlain (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1959)