1928
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 6 Machi - Gabriel Garcia Marquez (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1982)
- 12 Machi - Edward Albee (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, miaka ya 1967, 1976 na 1992)
- 14 Mei - Che Guevara
[edit] Waliofariki
- 30 Januari - Johannes Fibiger (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1926)
- 4 Februari - Hendrik Antoon Lorentz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1902)
- 30 Agosti - Wilhelm Wien (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1911)