1971
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 4 Juni - Joseph Kabila, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
[edit] Waliofariki
- 26 Februari - Theodor Svedberg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1926)
- 12 Aprili - Igor Tamm (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1958)
- 6 Julai - Louis Armstrong (mpuliza tarumbeta wa Jazz)
- 20 Septemba - Giorgos Seferis (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1963)
- 21 Septemba - Bernardo Houssay (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1947)
- 9 Desemba - Ralph Bunche (mwanasiasa Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1950)