From Wikipedia
Biblia ni jina kwa ajili ya vitabu vya dini upande wa Uyahudi na Ukristo. Neno limetokana na lugha ya Kigiriki ambayo ndani yake biblios ina maana ya "kitabu". Tunaweza kutofautisha
- Biblia ya Kiebrania inavyotumiwa na Wayahudi (ambayo kwa Wakristo ni Agano la Kale) na
- Biblia ya Kikristo inavyotumiwa na Wakristo.
|
Ukarasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja.
Chagua maana uliyoikusudi.
Maelezo katika ukarasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukarasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.
|