1899
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 30 Januari - Max Theiler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1951)
- 11 Juni - Yasunari Kawabata (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1968)
- 12 Juni - Fritz Lipmann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1953)
- 21 Julai - Ernest Hemingway (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1954)
- 19 Oktoba - Miguel Asturias (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1967)